Friday, February 1, 2013

MKUU WA WILAYA BAGAMOYO AKIKABIDHI BAISKELI NA VITENDEA KAZI PAMOJA NA MWONGOZO WA MAFUNZO YA UKIMWI

 Mheshimiwa Mkuu wa wilaya Ndugu Ahamedi Kipozi akigawa baiskeli kwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Vijana Bagamoyo (MVB) Pembeni suti nyeusi ni Prince Pastory(Meneja Mradi ASUTA na Mkurungezi Mtendaji wa Makampuni ya FPN). Mtandao huu Pia wanachama wake  ndio waliohudhuria Mafunzo ya UKIMWI na UJASIRIAMALI yakitekelezwa na ASUTA &PY kwa udhaminiwa RFE.
 Mkuu wa wilaya Bagamoyo akigawa Baikeli kwa Mwelimisha rika kata ya Mkange pamoja na Kitabu cha mwongozo wa Mwelimisha rika kwa mafunzo waliyopatiwa.
Mwelimisha rika kata ya Kiromo akishikana mkono na Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo wakati akikabidhiwa Baiskeli tayari kwa kuchapa kazi.

No comments:

Post a Comment