Sunday, December 30, 2012

'2030' YA ROMA YALETA BALAA

Ule wimbo alioutoa msanii R.O.M.A siku ya ijumaa ukiwa na title 2030 umezua gumzo sehem mbalimbali ikiwemo katika mitandao ya kijamii ukihusishwa kwenda kinyume na dini ya kiislam. Wimbo huo   umeombwa kupigwa marufuku na waislam wote sababu ikiwa ni msanii Roma kusema tukio la kijana kukojolea msaafu ni sawa.....Hapa nanukuu maneno ya   Hemedy Suleiman kutoka facebook.
 


 NYIMBO MPYA YA ROMA MKATOLIKI MPYA IITWAYO "2030"
WAISLAMU TUNAIPIGA MARUFUKU DUNIA KOTE

Ameisifia na Kuuponda Uislamu pia...Wewe
kama Muisalmu kama unayo ifute na
usi Isambaze...Msahafu kukojelewa asema ni sawa
yule mtoto hajui Kanisa kwaiyo waislamu tumefanya makosa kuchoma kanisa.Ana isitoshe ametaja neno
Allah mara nyingi katika Nyimbo hiyo.

Hii siyo mara ya kwanza kwa msanii huyu kuuimba mada zake katika nyimbo zake za nyumba ameshawahi kutaja aya ya Quran katika Maafa ya Mv spice

Tuma Ujumbe
huu kwa watu wengi Kuhakikisha isisambae Hii
Nyimbo imetoka 28/12/2012.....Hakika Mnatakiwa
kuonyesha Hatua kali dhidi yake ichukuliwe Kafiri Huyu'  Mwisho wa kunukuu


ROMA

1 comment: