Monday, December 31, 2012

IZZE MARTIN AACHIA NGOMA MPYA

Yule msanii anayekuja kwa kasi na kutishia amani ya wakongwe wa tasnia hiyo hapa nchini Kijana Izze Martin ameachia wimbo mpya uitwao HUYU akishirikiana na msanii Milyo. Ngoma hiyo according to him imekuja muda huu wa mwisho wa mwaka ikiwa ni zawadi kwa mashabiki wake.
Ngoma hiyo ambayo imepokelewa vizuri  na maraia kibao wakisifia vocal za wasanii hao bila kumsahau producer akiwa ameitendea haki ngoma hiyo.



No comments:

Post a Comment