Sunday, December 23, 2012

SUGU ACHANA RAIA...

Kile kinachodaiwa kuwa ni msimamo usioangalia sura wala cheo cha mtu kimeonekana kuvuta hisia za watu ni pale mbunge wa Mbeya mjini aka Rais wa Mbeya Mhe Joseph Mbilinyi jana alimchana Mkuu wa wilaya ya Rungwe bwana Meela kwa kubadili maada za maendeleo na kuanza kuongelea masuala ya siasa na ndipo leo asubuhi akapost katika katika mtandao wa kijaamii facebook akionesha udhaifu wa mkuu wa Wilaya yule na kisha raia mmoja akakoment tofauti na umma wote ukamgeukia yeye mpaka pale aliporejea na kujitetea....
Hivi ndivyo ilivyonyakwa na NIHABARISHE toka mitandao ya kijamii yaaanifacebook ngoma imenyakwa nzimanzima yaani live bila chenga.

STUPIDITY: IS A LACK OF COMMON SENSE AND UNDERSTANDING...
 
Kwame Ibr ni kweli, kiongozi anaulizwa swali kwanini maendeleo hajapatikana yeye badala ya kujibu anaanza kuzungumzia udiwani na siasa kwenye vikao vya kujadili maendeleo, huyo ni stupidy.
...KUNA MKUU WA WILAYA YA RUNGWE ANAITWA BWANA MEELA NADHANI,JANA TUKIWA KWENYE KIKAO CHA MKOA CHA MASUALA YA ELIMU ALITAKIWA NA M/KITI AELEZE MAENDELEO YA ELIMU WILAYANI KWAKE...BADALA YA KUELEZA 'FAILURES' ZAKE AKAANZA KULALAMA KUWA KUNA DIWANI WA CHADEMA KATA MOJA YA WILAYANI KWAKE NDO ANAZUIA MAENDELEO...NIKAMWAMBIA LIVE KUWA MA-DC KAMA WA AINA YAKE NDIO WANASABABISHA TUME YA KATIBA MPYA KILA INAKOPITA WATU WANATAKA NAFASI YA MA-DC IFUTWE KABISA ISIWEPO...COZ HAWAJUI HATA MAJUKUMU YAO NA NDO VINARA WA KUINGIZA SIASA CHAFU NA HASI ZA CCM KWENYE MAMBO YA MAENDELEO N THATS STUPID...
 
 
Kwikima Hussein Kasele another problem ni professionalism kwa media yetu-heading ya habari na tukio lilivorushwa na TV moja leo ni vitu viwili tofauti-Eti ulikimbia wakati kakushoot ukitoka huku umefura na kama umesusia kikao. 
 
Geoffrey Samm hajitambui..mngemuuliza huyo diwani na anazuia kivipi hayo maendeleo?
    • Lusajo Mwakagile Afadhali umempa makavu live,yeye anadhani bado anaishi kwenye enzi za zidumu fikra za mwenyekiti...!!!na hilo ndio tatizo la kupeana vyeo kishemeji...!!!
       
    • Joseph Mbilinyi TUTAMTANGAZA MEELA ADUI WA MKOA WA MBEYA ILI ARUDI WALIKOMTOA...COZ HANA DHAMANA YA WATU WA RUNGWE KUWA KIONGOZI WAO...
       
    • Emmanuel Willbard sugu na wewe ni mbunge wa Rungwe, au kwa sababu kasema diwani wa CDM anazuia maendeleo ndio unamshupalia! Tufanye kazi na sio kusema arudi alipotoka, u r wrong my brother.. Na huo ni ukabila ambao tunaupiga vita. Shame on you Sugu, though i respect you much, bt 4 this umeniangusha!
       
    • Masha Mbilinyi safi sana kiongozi.
       
    • Square Root ha ha ha ha,bravo mh.,alijisikiaje sasa baada ya kumpa makavu live??
       
    • Square Root ha ha ha ha,bravo mh.,alijisikiaje sasa baada ya kumpa makavu live??
       
    • Joseph Mbilinyi @willbard...i dont care nikikuangusha..who the hell r u first?! talking about ukabila...jumping into things like a dickhead! ninaposema arudi walikomtoa naamanisha kikazi maana sidhani kama alikuwa dc kabla...u heard?!
       
    • Real Opaschal kwani weee emmanuel wilbard we gamba au we ukurutu tu maana unaongea uchafu........ wewe ni ngele
       
    • James Lukosi Thats POLITICS...........but yana mwisho.
       
    • Grayson F Mwakasege Kwa upande wangu iyo title ya UDC siipendi ata kuisikia maana hawana kazi za kufanya
       
    • Abdul Noor Wilbard umedandia mada hujaelewa ila kwenye post si lazima utoe comment zako.

      DC wapo kisiasa huyo hawafai wana Rungwe vitu vya msingi analeta siasa.
       
    • Alfred John Kyebe Mwanguku Wilbard na Wajinga wenzako wengine muwe munasoma post nakuielewa then unajibu. Sio unakurupuka kama umebanwa na uharo na ku comment pumba. Hapo ukabila kwa Sugu umetokea wapi? Unajua kwamba Sugu ni Mkinga lakini yet wana Mbeya wamemkubali mpaka wanadare kumuita Raisi wao? Unajua Lema ni Mchagga but Arusha are creazy and loyal for him. Wish ungeliona alivyopokewa jana manake siwezi hata elezea. Sasa wlbard acha ubwege wa kupandikiza ukabila kama wenzako magamba mmokua mkifanya ili kuwavuruga wana CDM. Shida nyie magamba hamuelewi kuwa ur tym is up!! Jiandaeni kuwa wapinzani wajinga nyie.
       
    • Grayson F Mwakasege Mwanguku punguza hasira!
       
    • Seleman Pharles Mabala Willbard go to hell.....
    • Expedito Mduda Hapo pana shida!! DC?
       
    • Emmanuel Willbard wala ckutegemea mashambulizi ya aina hii. Kilichosemwa na Sugu nimekielewa, sana. Pia kusema mi ni gamba mnakosea sana. Ni mwanachama wa CDM TAWI LA TABATA MTAMBANI. BT CKUPENDA KAULI YA KUSEMA ARUDI KWAO,, kuwa wanarungwe hawamfai. Ukisema kuwa UDC haufai, hata mm naona ubunge haufai kama ishu ni siasa. Na kama unajua sugu ni mkinga kakubalika mbeya, na lema nimchaga kakubalika arusha. Kwa nini Huyo DC asikubalike rungwe. Acheni unazi na ushabiki usiokuwa na tija!
    •  
      mimi binafsi sioni kazi ya hao ma DC zaidi ya kutumia hela za serikali na matumizi mabaya ya fedha yani wao utawaona kwenye kampeni za ccm ndio maana huwa wanapigwa na vihelehele vyao.kaka ungemtia makofi ulikosea.
       
       
    • Unapoona mtu hataki kukosolewa hafai kuwa kiongozi. Kama DC Huyo alikuwa muongo kwa nini Sugu asiombe athibitishe madai Yake . Mimi natoka Rungwe nimeshuhudia baadhi ya vitendo vya Wana siasa wakizuia Maendeleo hivyo sioni Kama hili la ajabu.
      31minutes
      ago.
 

No comments:

Post a Comment