Sunday, January 27, 2013

BONGO MOVIE BILA HUYU.......























Vincent Kigosi maarufu kama Ray pichani juu mashabiki wake mbalimbali wakiongea na NIHABARISHE kona ya BONGO MOVIE BILA HUYU..Wamezidi kumtetea na kuzidi        kunyakua kura nyingi. Aidha maoni ya mashabiki wengine walidai pia ziangaliwe kazi ngapi makini msanii flani kapiga na sio sura au kupendeza shabiki wa bongo movies bwana omary shebbyduh alisema. Naye Ms Chokolate aliongezea mi sipendi wasanii jina bali wachapakazi Ray kweli anajitahidi na anastahili tuzo Ms Chokolate (20 Coast belt).

Aidha shabiki wa JB aliinuka kwenye kiti kwa ghafla mpaka watu wakaduwaa, wakati mahojiano yanaendelea na kusema sijawaelewa kabisaa labda discussion ianze upya na tunataka mtu amkubali au kumpigia kura mtu kwa kipindi na movie ndani ya kipindi hicho. Mwaka huu ungwe nyingine babuuuuuuuuuuuu mpaka kitaeleweka tu JB ndo habari ya MUUUJINI......mama mmoja kwa jina Mamaa Sabrina pedejeeeh ya kweli mujini town kati (28)mitaa ya VIP.
Mchangiaji mmoja aliibuka akisema je mashabiki wa Hemedi PHD tuseme nini? Je mashabiki wa Claudi, Cheni, Chekbudy, Lulu, Wema, Wolper  watasemaje? Alizibwa domo na kitu cha kizenji kwa jina la WAKUHSHIBA kilibwata na kuweka wazi kilikaririwa ''Oyaah ziba domo huwezi semea mtu haya mawazo binafsi Tanzania tuna uhuru wa kuongea bana.. ilimradi hukosei mtu huu upenzi tu na ushabiki kama timu ya mpira wewe vepi kachara????????????????????????

HUU SI MSIMAMO WA NIHABARISHE BALI NI MAONI YA WADAU NA HAYANA MUONEKANO WA JUMLA.

http://nihabarishe1.blogspot.com/













No comments:

Post a Comment